Featured

    Featured Posts

    www.nteltanzania.blogspot.com

    Social Icons

    This technologyzaleo blogsite is all about scientist,innovators,computer maintanance and networking and any related technology. For more knowledge you may visit this site to get any new version of technologies together with lessons for how you can handle your matters.feel at your home and you're welcome
Loading...

Samsung Galaxy S5 Itascan Macho Yako Kutoa Lock Ya Simu

eye-scanning-sensor-in-glaaxy-s5
Rumors zimezidi kusambaa kuhusu Samsung Galaxy S5 ambayo itatoka January mwakani. Tetesi mpya kabisa kuhusu simu hiyo inayosubiriwa na wengi ni kwamba S5 itakuwa na ‘kidude’ ambacho kitakuwezesha wewe kuseti scan ya macho kama njia ya kutoa password.

Kwa watumiaji wa Android wa sasa, kuna njia tatu kuu za kutoa loki ya simu ambazo ni password ya namba, kuchora pattern, na kuscan sura ambayo nimeiona kwenye Galaxy S2 – sina uhakika kama inapatikana kwenye matoleo mengine chini ya S2 au toleo lolote la simu zingine zenye android ukitoa Samsung.
Sasa, hii mpya italeta njia nyingine ya 4: Kuscan macho. Kama wewe ni mpenzi wa movies kama mimi basi utakuwa umeshawahi kuona hii kitu. Samsung wanaileta kwenye simu.
Hii ni kujibu mapigo ya Apple kwenye iPhone 5 ambapo wameweka fingerprint scanning. Samsung wameamua kuchukua hatua moja mbele na kuleta Eye Scanning ili kuonyesha kuwa wao ni bora kuliko Apple. I love this.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!
© Copyright NTEL TANZANIA
Back To Top